Mwongozo wa Mwanafunzi β SEHEMU YA 2
Hati Hii ni ya Kumbukumbu ya Mwombaji / Mwanafunzi
βοΈ SEHEMU HII ITENGANISHWE NA KUBAKI KWA MWANAFUNZI KAMA KUMBUKUMBU NA MWONGOZO βοΈ
1. VIGEZO VYA UDAHILI (ADMISSION CRITERIA)
| Kundi |
Kiwango cha GPA / Sifa |
Hadhi ya Udahili |
Programu Anayostahili |
Chuo Husika |
Muda wa Kuanza |
| Kundi la 1 |
GPA 3.0β5.0 / Form VI Direct |
Udahili wa moja kwa moja |
BAED, BSCED au IMPTE |
OUT |
Oktoba 2026 |
| Kundi la 2 |
GPA 2.0β2.9 |
Foundation Programme |
Foundation kupitia SUPA |
STTC (SUPA) na OUT |
Septemba 2026 |
| Baada ya Foundation |
Waliokidhi vigezo vya ufaulu |
Udahili wa Shahada |
Shahada husika |
OUT |
Septemba 2027 |
2. ORODHA YA PROGRAMU ZA MASOMO NA ADA ZAKE
| Na. |
Jina la Programu |
Muda |
Sifa za Kujiunga |
Ada kwa Mwaka |
Malipo ya Mwezi (miezi 10) |
| 1 |
Bachelor of Arts with Education (BAED) |
Miaka 3 |
Diploma GPA 3.0+ / Form VI |
TZS 1,550,000/= |
TZS 155,000/= |
| 2 |
Bachelor of Science in Education (BSCED) |
Miaka 3 |
Diploma GPA 3.0+ / Form VI |
TZS 1,550,000/= |
TZS 155,000/= |
| 3 |
Integrated Masterβs in Primary Teachers Education (IMPTE) |
Miaka 3 |
Diploma GPA 3.0+; Shahada + Uzamili |
TZS 2,450,000/= |
TZS 245,000/= |
| 4 |
Foundation Programme (SUPA Support) |
Mwaka 1 |
Diploma ya Ualimu GPA 2.0β2.9 |
TZS 1,550,000/= |
TZS 155,000/= |
π Angalizo la Ada: Ada za masomo zinaweza kulipwa kwa awamu za kila mwezi ndani ya miezi kumi (10) ya mwaka wa masomo.
3. GHARAMA ZA MICHANGO MINGINE YA CHUO
| Aina ya Mchango |
Kiasi (TZS) |
Utaratibu wa Ulipaji |
| Fomu ya Maombi ya Udahili |
60,000/= |
Mara moja wakati wa kuomba |
| TCU Quality Assurance |
20,000/= |
Kila mwaka |
| Kitambulisho cha Mwanafunzi |
20,000/= |
Mara moja tu |
| Ada ya Mitihani |
10,000/= |
Kwa kila mtihani |
| Teaching Practice (Ualimu kwa Vitendo) |
100,000/= |
Kwa kila awamu |
| Serikali ya Wanafunzi (OUTSO) |
20,000/= |
Kila mwaka |
4. RATIBA NA TAREHE MUHIMU ZA KITAALUMA β 2026
| Na. |
Shughuli |
Tarehe |
Maelezo Muhimu |
| 1 |
Mwisho wa Kupokea Maombi |
30 Agosti 2026 |
Maombi kupitia www.singidattc.ac.tz |
| 2 |
Kutangaza Waliodahiliwa |
05 Septemba 2026 |
Majina yatatolewa kwenye tovuti ya chuo |
| 3 |
Mafunzo ya Utangulizi (Orientation) |
10 Septemba 2026 |
Vituo vya masomo katika Halmashauri zote |
| 4 |
Kuanza Rasmi Masomo |
25 Septemba 2026 |
Mfumo wa ODL: LMS mtandaoni na ana kwa ana |
| 5 |
Mwisho wa Usajili wa Kozi |
30 Septemba 2026 |
Kukamilisha usajili wa masomo yote |
5. HUDUMA ZA KITAALUMA ZITAKAZOTOLEWA NA SUPA
| Huduma |
Maelezo |
| Academic English Enhancement |
Kukuza lugha ya Kiingereza cha kitaaluma. |
| Digital Learning & LMS Orientation |
Mafunzo ya mfumo wa kujifunzia mtandaoni. |
| Academic Writing & Research Skills |
Mbinu za uandishi wa kitaaluma, insha na utafiti. |
| Study Skills & Exam Readiness |
Mbinu za kujisomea katika Distance Learning na kujiandaa na mitihani. |
| Academic Counselling & Mentorship |
Ushauri na usimamizi wa maendeleo ya masomo. |
6. MWONGOZO WA MAMLAKA ZA TAASISI
| Taasisi |
Majukumu na Mamlaka |
| STTC kupitia SUPA |
Inahusika na uratibu wa masomo ya ana kwa ana, kutoa usaidizi wa kitaaluma (Academic Support), maandalizi ya wanafunzi na ufuatiliaji wa maendeleo yao. |
| OUT β Chuo Kikuu Huria |
Ndiyo taasisi yenye mamlaka ya kisheria ya, kusimamia mitaala, kuendesha mitihani rasmi, kutangaza matokeo na kutunuku shahada au vyeti. |